HISTORIA YA SHIRIKA LA
DICHE FOUNDATION (2019)
1.
SHIRIKA
LA DICHE FOUNDATION LILIANZISHWA TAREHE 12/12/2019 KUPITIA MKUTANO WA KIKAO
CHA WAANZILISHI WA SHIRIKA CHINI YA
MWENYEKITI WAKE ALUKO LUKOLELA (SIR ALUKO)
2.
SHIRIKA
LA DICHE FOUNDATION (2019) LIMETOKANA NA MAWAZO NA KUWIWA MIONGONI WA WAANZILISHI NA
KUTOKANA NA MATATIZO YANAYO WAKABILI WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU, WAMAMA WAJAWAZITO NA WATOTO WENYE UMRI CHINI
YA MIAKA 5 LISHE PAMOJA NA MAZINGIRA
3. WAANZILISHI WA SHIRIKA LA DICHE FOUNDATION
(2019)
i.
SIR
ALUKO – MWENYEKITI
ii.
NEEMA
HEZRON – KATIBU
iii.
BAHATI
SAIDI – KATIBU MSAIDIZI
iv.
SAIDI
KASSIM – MHASIBU
v.
KASIM
KASIM – MJUMBE
vi.
ABEID
MEZA - MJUMBE
vii.
JUMA
MRUMBE - MJUMBE
viii.
RECHO
RWECHUNGURA - MJUMBE
4. DHIMA YA SHIRIKA
Kuhakikisha
taarifa za walengwa wa Shirika zinapatikana kwa ajili ya matumizi ya Njia bora
za kuwahudumia kwa kuzingatia mahitaji yao ya sasa na ya baadae kwa
kuishirikisha Jamii kupitia mikutano
Midahalo, Washa, Kongamano, Makala katika majarida, magazeti,
vipeperushi, Runinga na Redro za Kijamii (Community Radio)
5. HUDUMA ZITOLEWAZO NA
SHIRIKA LA DICHE FOUNDATION 2019
Kufanya
sensa ya kuwatambua watu wenye mahitaji maalumu kwa kupitia mamlaka za Serikali
za Mitaa, viongozi wa dini, viongozi wa kisiasa na viongozi wa kimila kwa kushirikisha
Jamii yenyewe kwa kutembelea nyumba hadi nyumba la Eneo husika.
6. kutoa Elimu kwa Jamii umuhimu wa Afya ya Mama
Mjamzito na Watoto wenye umri chini ya
miaka 5 kwa kushirikisha Jamii.
7. Kuwaungania watu mbalimbali, mashirika ya
ndani na nje katika kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalum na wamama
wajawazito kuwasaidia kupata huduma za msingi kama vile; Afya, Elimu, Chakula,
Makazi na Mavazi
8. Kuhakikisha
upatikanaji wa vitendea kazi na vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa watoto
wenye mahitaji maalumu vinapatikana kwa kuishirikisha Jamii, watu binafsi,
pamoja na mashirika mbalimbali kutegemea na aina ya ulemavu alionao mtoto.
9. Kuhakikisha
shirika linakuwa na kituo chake cha Redio na TV kitakachosaidia katika
kuelimisha Jamii suala zima la umuhimu wa kuwahudumia watoto walemavu, wamama
wajawazito na watoto wenye umri chini ya miaka 5 pamoja na mazingira.
CHANZO
CHA FEDHA
i.
Michango iliyotolewa na
waanzilishi wenyewe kila mmoja ametoa Tshs. 200,000/=
ii.
Viingilio vya wanachama kila mmoja anapaswa atoe Tshs. 50,000 kama kiingilio na
Ada ya kila mwaka 120,000/=
iii.
Misaada kutoka kwa wahisani na Serikali, Mashirika
na Watu Binafsi
iv.
Ununuaji wa hisa kutoka
makampuni na mashirika mbalimbali
v.
Harambee

0 comments:
Post a Comment